Hagadera: Usaidizi kwa Walionusurika na Dhuluma za Kijinsia– (IRC)

Sasisho la Mwisho: 10/8/2023
Masaa ya ufunguzi
  • Jumatatu: 08:00 - 05:00
  • Jumanne: 08:00 - 05:00
  • Alhamisi: 08:00 - 05:00
  • Jumatano: 08:00 - 05:00
  • Ijumaa: 08:00 - 05:00
Simu254735985792
Websitehttps://www.rescue.org/country/kenya
Twitterhttps://twitter.com/RESCUEorg
Facebookhttps://www.facebook.com/InternationalRescueCommittee
Instagramhttps://www.instagram.com/RESCUEorg/
Maelezo

Huduma

  • Usaidizi na matibabu kwa walioathirika na dhuluma za kijinsia - GBV
  • Usimamizi wa Utunzaji wa Kliniki kwa Waathirika wa Unyanyasaji wa Kijinsia,
  • Vikundi vya Msaada wa Kisaikolojia
  • Vipindi vya Kusikiliza
  • Rufaa kwa huduma/wakala zingine

Vigezo vya kustahiki

  • Watu wazima (zaidi ya miaka 18)
  • Huduma zinapatikana kwa jinsia zote
  • Huduma hutolewa kwa watu wa LGBTQI+ na watu wote binafsi
  • Watoto wanatumwa kwa mashirika ya ulinzi wa watoto/washirika

Accessibility

  • Lango la eneo hili lina mteremko wa kupandi an akushikia
  • Eneo hili lina wafanyakazi wa kike
  • Mahali hapa pana bafu na vyoo tofauti kwa wanaume na wanawake
  • Huduma zote zilizoorodheshwa ni za bila malipo
  • Ufafanuzi wa lugha za Kisomali, Kiswahili na Kiingereza unapatikana mara kwa mara katika eneo hili
  • Huduma zinapatikana katika lugha za Kisomali, Kiswahili na Kiingereza kwa tafsiri ya simu
  • Wakalimani wa kike wanapatikana kwa lugha za Kisomali, Kiswahili na Kiingereza

Eneo

  • Kambi ya Hagadera, kituo chamsaada ndani ya Hospitali kuu ya IRC