Hagadera: Usaidizi kwa Walionusurika na Dhuluma za Kijinsia– (IRC)
Sasisho la Mwisho: 10/8/2023
Masaa ya ufunguzi | - Jumatatu: 08:00 - 05:00
- Jumanne: 08:00 - 05:00
- Alhamisi: 08:00 - 05:00
- Jumatano: 08:00 - 05:00
- Ijumaa: 08:00 - 05:00
|
---|
Simu | 254735985792 |
---|
Website | https://www.rescue.org/country/kenya |
---|
Twitter | https://twitter.com/RESCUEorg |
---|
Facebook | https://www.facebook.com/InternationalRescueCommittee |
---|
Instagram | https://www.instagram.com/RESCUEorg/ |
---|
Maelezo | Huduma
- Usaidizi na matibabu kwa walioathirika na dhuluma za kijinsia - GBV
- Usimamizi wa Utunzaji wa Kliniki kwa Waathirika wa Unyanyasaji wa Kijinsia,
- Vikundi vya Msaada wa Kisaikolojia
- Vipindi vya Kusikiliza
- Rufaa kwa huduma/wakala zingine
Vigezo vya kustahiki
- Watu wazima (zaidi ya miaka 18)
- Huduma zinapatikana kwa jinsia zote
- Huduma hutolewa kwa watu wa LGBTQI+ na watu wote binafsi
- Watoto wanatumwa kwa mashirika ya ulinzi wa watoto/washirika
Accessibility
- Lango la eneo hili lina mteremko wa kupandi an akushikia
- Eneo hili lina wafanyakazi wa kike
- Mahali hapa pana bafu na vyoo tofauti kwa wanaume na wanawake
- Huduma zote zilizoorodheshwa ni za bila malipo
- Ufafanuzi wa lugha za Kisomali, Kiswahili na Kiingereza unapatikana mara kwa mara katika eneo hili
- Huduma zinapatikana katika lugha za Kisomali, Kiswahili na Kiingereza kwa tafsiri ya simu
- Wakalimani wa kike wanapatikana kwa lugha za Kisomali, Kiswahili na Kiingereza
Eneo
- Kambi ya Hagadera, kituo chamsaada ndani ya Hospitali kuu ya IRC
|
---|