Huduma za ziada za afya- Shirika la Msalaba Mwekundu la Kenya (KRCS)

Sasisho la Mwisho: 10/8/2023
Simu254110483063
WhatsApp254110483063
Emailinfo@redcross.or.ke
Websitehttps://www.redcross.or.ke
Maelezo

Huduma Nyingine za afya

  • Msaada kwa watu walioathirika na matumizi ya dawa ya kulevya au pombe 
  • Huduma kwa watu wanaoishi na UKIMWI 
  • Ushauri nasaha kuhusu jinsi ya kuzuia virusi vya UKIMWI magonjwa ya zinaa  
  • Huduma kwa watoto ambao hawajaandama na na walezi au wazazi wao
  • Msaada kwa watu wenye ulemavu na/au mahitaji maalum 
  • Usimamizi wa kesi kwa wagonjwa wa kiakili 

Vigezo vya kupokea huduma

  • Huduma ndani za KRCS hazihitaji onyesho lolote la hati
  • Huduma zinazohitaji rufaa nje ya Dadaab zinaruhusiwa kwa wakimbizi waliosajiliwa pekee

Namna ya kufikiwa na wahudumu

  • Huduma kwa wanawake wajawazito 
  • Huduma kwa akina mama wachanga