- Nyumbani
- Huduma
- Taarifa
- Kuhusu
Masaa ya ufunguzi |
|
---|---|
Simu | +254 703848641 |
info@rckkenya.org | |
https://www.facebook.com/Refugee-Consortium-of-Kenya- | |
https://twitter.com/RckKenya | |
Website | https://www.rckkenya.org/ |
Maelezo | Huduma Ushauri wa kisheria Uwakilishi katika mahakama na vituo vya polisi Uwakilishaji katika kesi za dhuluma ya kijinsia na ngono Habari kuhusu haki zako Habari kuhusu utaratibu kwa kuomba hifadhi nchini Kenya Usaidizi wa kujaza hati za kisheria Kusindikizwa kwa mikutano ya kisheria au kiutawala - kwa maswala yanayohusiana na uhamiaji, dhuluma ya kijinsia na ngono, na Watoto Usaidizi wa kujitayarisha kwa mahojiano ya kuomba hifadhi nchini Uwakilishi wa kisheria katika korti na vituo vya polisi Kesi za jinai Vyeti vya kuzaliwa, kifo na vyeti vingine vya kibinafsi Migogoro ya familia Huduma za kisheria kwa waathiriwa wa vita Huduma za kisheria kwa waliotiwa mbaroni Huduma za kisheria kwa wasio raia wan chi yoyote Rufaa kwa wanasheria
Mahitaji ya Ustahiki Huduma zote zilizoorodheshwa hutolewa bure Huduma hutolewa kwa wakimbizi, wanaotafuta hifadhi na walionyanyaswa kijinsia (SGBV). Mikutano hupangwa wakati wa masaa ya kazi na siku za kazi, Jumatatu hadi Ijumaa, Saa 2 asubuhi hadi Saa 11 jioni - Kesi za dharura ambazo hutokea nje ya masaa rasmi ya ofisi huzingatiwa.
Upatikanaji wa Huduma Huduma hupatikana pia kwa kupiga simu kwa nambari 0703848641. Simu zinaweza kupigwa baada ya masaa ya kazi, kwa kesi za dharura. Kwa sababu ya ugonjwa wa COVID 19, huduma za kisheria na za ushauri hufanywa kwa mikutano iliyopangwa kwa kupiga simu kwa nambari iliyotolewa. Huduma zinapatikana bila rufaa. Tafsiri za lugha za Oromo, Somali, Sudan Kusini, Kiingereza, na Kiswahili zinapatikana kila wakati katika ofisi yetu. Huduma zinapatikana katika lugha zifuatazo kwa tafsiri ya simu - Kioromo, Somali, Sudan Kusini, Kiingereza na lugha za Kiswahili. Watafsiri wa kike wanapatikana Kiingilio cha pahali hapa kina njia panda Pahala hapa pana wafanyikazi wa kike Huduma zinapatikana Jumatatu hadi Ijumaa: Saa 2 asubuhi – saa 11 jioni. Ofisi zinafungwa siku za sikukuu za umma. Simu zinaweza kupigwa nje ya masaa ya kazi, kwa kesi za dharura. Kwa sababu ya ugonjwa wa COVID 19, huduma za kisheria na za ushauri hufanywa kwa mikutano iliyopangwa kwa kupiga simu kwa nambari za RCK.
Njia na wakati wa kutoa maoni Simu, barua pepe, ana kwa ana. Haraka iwezekanavyo |